1946
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| ►
◄◄ |◄ |1942 |1943 |1944 |1945 |1946| 1947| 1948| 1949| 1950| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1946 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 19 Machi - Guyana ya Kifaransa, Guadeloupe, Martinique na Réunion zinapewa hali ya kuwa mikoa ya ng'ambo ya Ufaransa
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 5 Januari - Diane Keaton
- 14 Januari - Harold Shipman, daktari na muuaji mfululizo kutoka Uingereza
- 19 Januari - Dolly Parton
- 2 Februari - Blake Clark, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 26 Februari - Ahmed Zewail, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1999
- 15 Machi - Hezekiah Ndahani Chibulunje, mwanasiasa wa Tanzania
- 17 Machi - Georges Köhler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1984
- 7 Aprili - Stan Winston, mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 30 Aprili - Carl XVI Gustaf, mfalme wa Uswidi
- 1 Mei - John Woo, mwongozaji filamu kutoka China
- 16 Mei - Joatham Mporogoma Mwijage Kamala, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 13 Juni - Paul Modrich, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2015
- 14 Juni - Donald Trump, mfanyabiashara na Rais wa Marekani
- 26 Juni - Anthony John Valentine Obinna, askofu Mkatoliki kutoka Nigeria
- 2 Julai - Richard Axel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2004
- 6 Julai - George W. Bush, Rais wa Marekani (2001-2009)
- 3 Agosti - Felix Christopher Mrema, mwanasiasa wa Tanzania
- 19 Agosti - Bill Clinton, Rais wa Marekani (1993-2001)
- 8 Septemba - Aziz Sancar, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2015
- 22 Septemba - King Sunny Adé, mwanamuziki wa Nigeria
- 17 Oktoba - Graca Machel, mke wa marehemu Samora Machel, na baadaye mke wa Nelson Mandela
- 20 Oktoba - Elfriede Jelinek, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 2004
- 28 Oktoba - Anthony Banzi, askofu wa Jimbo Katoliki la Tanga, Tanzania
- 2 Novemba - Marieta Severo, mwigizaji wa filamu kutoka Brazil
- 4 Novemba - Laura Bush, mke wa Rais George W. Bush, na Mwanamke wa Kwanza wa Marekani (2001-09)
- 3 Desemba - Raphael Benedict Mwalyosi, mwanasiasa wa Tanzania
- 18 Desemba - Steve Biko, mwanasiasa kutoka Afrika Kusini
- 18 Desemba - Steven Spielberg, mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 30 Desemba - Patti Smith, mwanamuziki kutoka Marekani
Waliofariki
- 19 Mei - Booth Tarkington, mwandishi kutoka Marekani
- 6 Juni - Gerhart Hauptmann, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1912
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz