Nona
Nona wa Nazianzo (305 hivi - 374 hivi) alikuwa mke wa Gregori Mzee na mama wa Gregori wa Nazianzo, Sesari wa Nazianzo na Gorgonia wa Nazienzi. Aliishi huko Kapadokia, mkoa wa Dola la Roma katikati ya Uturuki wa leo.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu pamoja na familia yake yote.
Maisha
Baada ya kuolewa , Nona alimsaidia Gregori mumewe kuongokea Ukristo kutoka madhehebu yenye mchanganyiko wa Uyahudi na Upagani yaliyomuabudu Hypsistos, Mungu "Aliye Juu".
Aliishi mpaka baada ya kifo cha mumewe, aliyefikia uaskofu, na ya wanae wawili.[2]
Mwanae maarufu zaidi, Gregori, ambaye pia alifikia uaskofu na anaheshimiwa kama mwalimu wa Kanisa, alitangaza sifa za mamaye[3]
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- The Sisterhood of Saint Nonna Archived 28 Septemba 2007 at the Wayback Machine., an Orthodox organization for wives of clergy
- A life of Saint Nonna Archived 28 Septemba 2007 at the Wayback Machine.
- Santiebeati
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz