Odo wa Cluny
Odo wa Cluny (kwa Kifaransa: Odon; Deols, karibu na Le Mans, 880 hivi – 18 Novemba 942) alikuwa abati wa pili wa monasteri ya Cluny.
Aliendeleza urekebisho huo wa Wabenedikto nchini Ufaransa na Italia[1][2].
Habari zake zinapatikana katika kitabu Vita Odonis kilichoandikwa na Yohane wa Salerno, mwanafunzi wake.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake, 18 Novemba[3].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Schoolmasters of the Tenth Century. Cora E.Lutz. Archon Books 1977.
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Odo of Cluny Archived 17 Mei 2008 at the Wayback Machine. at Patron Saints Index
- The Life of Saint Gerald of Aurillac by Odo of Cluny, trans. Gerald Sitwell, O.S.B. (Google Books)
- "At the Wellspring of Joy: Saint Odo of Cluny", Silverstream Priory
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz