Olegari
Olegari (kwa Kikatalunya: Oleguer Bonestruga; Barcelona, 1060 hivi - Barcelona, 1137) alikuwa askofu wa Barcelona na wa Tarragona, nchini Hispania, kuanzia mwaka 1116.
Kabla ya hapo alikuwa mkanoni mwanajimbo, halafu Mwaugustino, halafu abati wa monasteri. Alipochaguliwa kuwa askofu alikataa cheo hicho mpaka alipoagizwa na Papa Paskali II[1].
Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa tarehe 18 Mei 1675.
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz