Orlando, Florida
Orlando ni mji wa Marekani katika jimbo la Florida. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 2 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 34 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Orlando | |
Mahali pa mji wa Orlando katika Marekani | |
Majiranukta: 28°32′1″N 81°22′33″W / 28.53361°N 81.37583°W | |
Nchi | Marekani |
---|---|
Jimbo | Florida |
Wilaya | Orange |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 227,907 |
Tovuti: www.cityoforlando.net |
Makala hii kuhusu maeneo ya Florida bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Orlando, Florida kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz