Ortari
Ortari (kwa Kifaransa: Ortaire [1]; Le Dezert, Manche, 482 - karibu na Bayeux, Normandy, Ufaransa, 15 Aprili, 580 hivi) alikuwa mmonaki, halafu abati wa monasteri ya Landelles maarufu kwa sala na ugumu wa maisha, lakini pia kwa huduma kwa wagonjwa na huruma kwa fukara[2].
Aliinjilisha maeneo ya Cotentin na Aron (Mayenne)[3]
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Jean Fournée et Pierre Courcelle, Saint Ortaire, sa vie, son culte, son iconographie, Société parisienne d'histoire et d'archéologie normandes, 1989, 52 p. ISBN 2-901488-36-6
- F.L.B.,Saint Ortaire, abbé de Landelles et apôtre de la Basse-Normandie, Paris, 1880.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz