Pablo Rosario
Pablo Paulino Rosario (alizaliwa 7 Januari 1997) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Uholanzi ambaye anacheza katika klabu ya PSV na timu ya taifa ya Uholanzi kama kiungo.
Kazi ya klabu
Almere City
Mwaka 2014 Rosario alihamia katika klabu ya Almere City FC. Tarehe 7 Agosti 2015 alicheza kwa mara ya kwanza katika timu hiyo katika mechi waliotoka sare 3-3 nyumbani dhidi ya VVV-Venlo.Aliweza kuingia katika dakika ya 59 kama mbadala wa Soufyan Ahannach.
PSV Eindhoven
Tarehe 25 Julai 2016, Pablo Rosario alisaini mkataba wa miaka minne(4) katika klabu PSV Eindhoven iiliyopo Uholanzi.
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Pablo Rosario kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino