Pantaleo mfiadini
Pantaleo (kwa Kigiriki Παντελεήμων, Panteleímon, yaani "Mwenye huruma tupu") alikuwa Mkristo wa Nikomedia huko Bitinia aliyefia dini yake wakati wa dhuluma ya Kaisari Diocletian mwaka 305 BK[1].
Kabla ya hapo alikuwa akitoa huduma za kitatibu bila kudai malipo yoyote [2]. .
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki[3], Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki na Waanglikana kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Life of St Panteleimon with a portrait in the traditional icon style
- Catholic Encyclopedia: Saint Pantaleon
- Paul Guérin, Les Petits Bollandistes: Vies des Saints, (Bloud et Barral: Paris, 1882), Vol. 9 Archived 23 Oktoba 2005 at the Wayback Machine. Hagiography for children (in English)
- Article in OrthodoxWiki
- St. Panteleimon Archived 2 Machi 2008 at the Wayback Machine.
- Gandzasar Monastery, Nagorno Karabakh
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz