Papa Eutychian
Papa Eutychian alikuwa Papa kuanzia tarehe 4 Januari 275 hadi kifo chake tarehe 7 Desemba 283[1]. Alitokea Luni, Toscana, Italia[2].
Alimfuata Papa Felisi I akafuatwa na Papa Kayo.
Hakuna habari nyingi za hakika juu ya maisha na kazi yake[3].
Hata hivyo, tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Maandishi yake
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Eutychian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz