Papa Hyginus
Papa Hyginus alikuwa papa kuanzia takriban 138 hadi kifo chake takriban 142/149[1]. Alitokea Ugiriki.
Alimfuata Papa Telesphorus akafuatwa na Papa Pius I.
Alipanga vizuri zaidi daraja takatifu na hasa huduma za chini pamoja na kupambana na uzushi wa Gnosi[2] hata kwa kutumia falsafa[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 11 Januari[4].
Tazama pia
Maandishi yake
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz