Paul Walker
Paul Walker (12 Septemba 1973 - 30 Novemba 2013) alikuwa mwigizaji filamu na mshindanishaji magari wa kimataifa kutoka Marekani. Paul ameshiriki katika filamu [1]na michezo ya television zaidi ya ishirini katika uhusika tofauti, lakini hasa filamu ya fast and furious iliyompatia umaarufu mkubwa duniani. Ushiriki wake katika filamu ya fast and furious[2] umepelekea kupendekezwa na kushinda kwake tuzo kadhaa za uigizaji.
Paul Walker | |
---|---|
Amezaliwa | 12 Septemba 1973 |
Ametoweka | 30 Novemba 2013 |
Marejeo
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Paul Walker kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz