Pierio
Pierio alikuwa padri ambaye inawezekana alikuwa mkuu wa Chuo cha Aleksandria kabla ya Achilas wa Aleksandria. Alistawi wakati Theonas alikuwa patriarki wa Alexandria[1].
Alifariki Roma baada ya mwaka 309[2]
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu, ingawa si rahisi kwamba alifia dini yake walivyosema Fosyo na wengine[3].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Novemba[4] au 29 Novemba.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Radford, Three Teachers of Alexandria (Cambridge, 1908);
- Bardenhewer, Gesch. der altchrist. Lit., II (Freiburg, 1903), 198-203;
- ____, Patrologie, tr. Shahan (Freiburg, 1908), 158;
- Harnack, Gesch. der altchrist. Lit., I (Leipzig, 1893), 439-44;
- Acta Sanctorum, II November, 254-64.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz