4 Novemba
tarehe
Okt - Novemba - Des | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 4 Novemba ni siku ya 308 ya mwaka (ya 309 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 57.
Matukio
Waliozaliwa
- 1931 - Cleopa David Msuya, Waziri Mkuu wa Tanzania (1980-1983 na 1994-1995)
- 1933 - Emeka Ojukwu, mwanasiasa Mnigeria
- 1936 - C. K. Williams, mshairi kutoka Marekani
- 1946 - Laura Bush, mke wa George W. Bush, Rais wa Marekani (2001-2009)
- 1969 - Sean Combs, mwanamuziki kutoka Marekani
Waliofariki
- 1847 - Felix Mendelssohn, mtunzi wa muziki kutoka Ujerumani
- 1935 - Charles Richet, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1913
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Karolo Borromeo, Vitali na Agrikola, Nikandro na Herme, Pierio, Amansi wa Rodez, Modesta wa Trier, Emeriko wa Hungaria n.k.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 4 Novemba kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz