Pigmenti
Pigmenti ni dutu inayobadilisha rangi ya nuru kwa kusharabu sehemu za spektra.
Pigmenti hutumiwa kubadilisha kuonekana kwa rangi za kupakia, plastiki, madawa au wino.
Kuna pigmenti za kibiolojia kwa mfano kiwiti katika majani kinacholeta rangi ya kibichi, au melanini inayoamulia rangi ya ngozi, nywele na macho.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz