Pompili Maria Pirrotti
Pompili Maria Pirrotti, S.P. (Montecalvo Irpino, Avellino, 29 Septemba 1710 - Campi Salentina, Lecce, 15 Julai 1766) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki maarufu kwa ugumu wa maisha na kama mwalimu na mhubiri huko Italia Kusini[1].
Alitangazwa na Papa Leo XIII kuwa mwenye heri tarehe 26 Januari 1880, halafu Papa Pius XI alimtangaza mtakatifu tarehe 19 Machi 1934.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz