1934
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| ►
◄◄ |◄ |1930 |1931 |1932 |1933 |1934| 1935| 1936| 1937| 1938| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1934 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 20 Januari - Hennie Aucamp, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- 27 Februari - N. Scott Momaday, mwandishi kutoka Marekani
- 7 Machi - Willard Scott, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 9 Machi - Yuri Gagarin (rubani Mrusi na mtu wa kwanza aliyefika katika anga-nje)
- 31 Machi - Carlo Rubbia, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1984
- 11 Aprili - Mark Strand, mshairi kutoka Marekani
- 21 Mei - Bengt Samuelsson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1982
- 13 Julai - Wole Soyinka, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1986
- 16 Julai - George Hilton, mwigizaji filamu Mwingereza kutoka Uruguay
- 3 Agosti - Jonas Savimbi
- 25 Agosti - Zilda Arns, daktari wa watoto kutoka nchi ya Brazil
- 21 Septemba - David James Thouless, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2016
- 28 Septemba - Brigitte Bardot, mwigizaji filamu kutoka Ufaransa
- 13 Oktoba - Nana Mouskouri, mwimbaji kutoka Ugiriki
- 10 Desemba - Howard Temin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1975
- 31 Desemba - Chedieli Yohane Mgonja, mwanasiasa wa Tanzania
bila tarehe
- George Lilanga, msanii Mmakonde kutoka Tanzania
Waliofariki
- 29 Januari - Fritz Haber, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1918
- 23 Februari - Edward Elgar, mtunzi mashuhuri wa muziki kutoka Uingereza
- 17 Oktoba - Santiago Ramón y Cajal, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1906
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz