Radoni
Radoni (kut. kilatini "radius" (mshale) kwa sababu ya unururifu wake) ni elementi yenye namba atomia 86 na uzani wa atomi 222. Alama yake ni Rn.
Radoni | |
---|---|
mizingo elektroni ya atomi ya radoni | |
Jina la Elementi | Radoni |
Alama | Rn |
Namba atomia | 86 |
Mfululizo safu | Gesi adimu |
Uzani atomia | 222 |
Ugumu (Mohs) | {{{ugumu}}} |
Kiwango cha kuyeyuka | (202 K (−71.15 °C) |
Kiwango cha kuchemka | 211.3 K (−61.85 °C) |
Asilimia za ganda la dunia | 6 · 10-16 % |
Hali maada | gesi |
Tabia
Radoni ni kati ya gesi adimu hivyo haimenyuki na elementi nyingine.
Si elementi ya kudumu kutokana na unururifu wake na nusumaisha yake ni siku 3.8 pekee. Inajitokeza mara kwa mara kutokana na mbunguo wa Radi.
Ni gesi nzoto hivyo haipandi sana juu kwenye angahewa bali kukaa chini. Hii ni sababu ya kwamba hukunsayika polepole ndani ya nyumba ambako madirisha na milango haifunguliwi. Hapa unururifu inaweza kuwa hatari ya afya.
Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Radoni kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz