Rafaeli Guizar
Rafaeli Guizar (Cotija, Meksiko, 26 Aprili 1878 - Mji wa Meksiko, 6 Juni 1938) alikuwa askofu mkuu wa Veracruz-Jalapa kuanzia mwaka 1919.
Rafaeli Guizar | |
Rafaeli Guízar Valencia | |
Amezaliwa | 26 Aprili 1878 |
---|---|
Nchi | Mji wa Mexiko |
Kazi yake | askofu mkuu |
Kwa kuwa alijihusisha na vita vya Cristeros aliondolewa jimboni mwake ikambidi aishi na kuendelea na uchungaji wake mafichoni jijini Mji wa Meksiko hadi kifo chake.
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 29 Januari 1995, halafu Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 15 Oktoba 2006.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz