Retisi
Retisi (pia: Reticius, Rheticius, Rheticus, Rhétice; alifariki 320 hivi) kwa miaka 25 hivi alikuwa askofu wa Autun, leo nchini Ufaransa, akiwa wa kwanza kati ya wanaojulikana [1][2].
Kwa agizo la kaisari Konstantino Mkuu alishiriki sinodi mbili zilizojaribu kumaliza farakano la Donato lilitokea Afrika Kaskazini[3].
Gregori wa Tours alimsifu katika maandishi yake [3] na Jeromu alimtaja pamoja na vitabu viwili alivyoviandika[4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Reticius von Autun (Kijerumani)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz