Sabah Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah
Sabah al-Ahmad al-Jaber al-Sabah (kwa Kiarabu: الشيخ صباح الأحمد الجابر الصباح; 16 Juni 1929 - 29 Septemba 2020) alikuwa Emir wa Kuwait na Kamanda wa Vikosi vya Jeshi vya Kuwait. Aliapishwa tarehe 29 Januari 2006 baada ya kuthibitishwa na Bunge na alihudumu hadi kifo chake tarehe 29 Septemba 2020.
Alikuwa mtoto wa nne wa Sheikh Ahmad Al-Jaber Al-Sabah.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz