Sesari wa Terracina
Sesari wa Terracina alikuwa shemasi wa Karthago, leo nchini Tunisia (Afrika Kaskazini) katika karne ya 2.
Aliposafiri kwenda Italia, alishuhudia na kupinga ibada ya kuchinja kijana kama kafara kwa mungu Apolo. Kwa ajili hiyo alifungwa miaka miwili na hatimaye akauawa huko Terracina kwa kutoswa baharini ndani ya gunia.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini, pengine pamoja na padri Juliani[1].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz