Setei
Setei (karne ya 6 - 597 hivi) anatajwa kama askofu wa Amiterno (leo San Vittorino, katika mkoa wa Abruzzo, Italia) au wa Aternum (leo Pescara)[1] ambaye Walombardi walipovamia maeneo yale aliuawa kwa kutoswa mtoni amefungiwa jiwe kubwa shingoni kwa kusingiziwa kwamba alisaliti mji wake [2].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Nicholas Everett, Patron Saints of Early Medieval Italy AD c.350-800 (PIMS/ Durham University Press, 2016), pp. 104–123.
- Nicholas Everett, 'The Passion of Cetheus of Pescara and the Lombard Invasion of Italy. With a diplomatic edition of Passio Cethei based on Venice, Biblioteca Marciana lat. Z 356”, Hagiographica 22 (2015), 79-132.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz