Siprila wa Kurene
Siprila wa Kurene (alifariki Kurene, leo nchini Libya, 300 hivi) ni kati ya Wakristo waliouawa kikatili wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian.
Alipokataa kutoa sadaka kwa miungu, walimtia mkononi ubani na makaa ya moto ili kwa kuvidondosha altareni kutokana na maumivu aonekane kama kwamba amekubali; kumbe yeye aliyashikikilia muda mrefu. Baada ya hapo aliteswa kwa ukatili hadi kufa[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Julai[2][3].
Inaonekana ni yule mjane Sirila wa Kurene anayeheshimiwa kama mtakatifu mfiadini tarehe hiyohiyo[4]. Pengine wanatajwa pamoja naye Aroa na Lusia[5].
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz