Sturmi wa Fulda
Sturmi wa Fulda (Lorch, Austria, 705 hivi - Fulda, Ujerumani, 17 Desemba 779) alikuwa mmonaki Mbenedikto ambaye, baada ya kipindi cha umisionari na upadrisho, alitumwa na askofu Bonifas mfiadini kuanzisha monasteri ya Fulda (744/747), akawa abati wake wa kwanza hadi kifo chake[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na wengineo kama mtakatifu. Mwaka 1139 Papa Inosenti II alithibitisha heshima hiyo.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- (Kijerumani) Biographisch-Bibliographisches Kirchenlexikon (BBKL) Band I (1990) Spalte 1479 Autor: Friedrich Wilhelm Bautz Egil
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz