Suzanne Bachelard
Suzanne Bachelard (18 Oktoba 1919 - 3 Novemba 2007, jiji la Paris) alikuwa ni mwanafilosofia na mtaaluma wa Ufaransa.[1] Mwaka 1958, alichapisha kitabu kilichofahamika kwa jina la La Conscience de la rationalité. Na pia alikua ni mtoto wa Mwanafilosofi aliyefamika kwa jina la Gaston Bachelard, ambaye alimhariria kitabu cha Fragments d'une Poétique du Feu.[onesha uthibitisho] na pia alifundisha katika shule ya Jacques Derrida akiwa kama msaidizi wa baba yake.[2]
Tanbihi
Marejeo
- Geoffrey Bennington (1991) Jacques Derrida, University of Chicago Press. Section Curriculum vitae pp. 325–36, Excerpts
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Suzanne Bachelard kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz