2007
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 20 |Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1970 |Miaka ya 1980 |Miaka ya 1990 |Miaka ya 2000| Miaka ya 2010
◄◄ |◄ |2003 |2004 |2005 |2006 |2007| 2008| 2009| 2010| 2011| ►| ►►
Jan.| Feb.| Mac.| Apr.| Mei| Jun.| Jul.| Ago.| Sep.| Okt.| Nov.| Des.
Makala hii inahusu mwaka 2007 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
Waliofariki
- 4 Januari - Juma Jamaldin Akukweti, mwanasiasa wa Tanzania
- 17 Januari - Alice Lakwena wa Uganda
- 7 Februari - Alan MacDiarmid, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2000
- 27 Machi - Paul Lauterbur, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2003
- 23 Aprili - Boris Yeltsin, Rais wa Urusi (1991-1999)
- 8 Mei - Abdullah_bin_Faisal_Al_Saud, mwana wa Mfalme wa Saudia
- 18 Mei - Pierre de Gennes (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1991)
- 30 Mei - William Meredith, mshairi kutoka Marekani
- 9 Juni - Achieng Oneko, mwanasiasa wa Kenya
- 26 Juni - Amina Chifupa, mwanasiasa wa Tanzania
- 23 Julai - Ernst Otto Fischer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1973
- 30 Julai - Ingmar Bergman, mwongozaji wa filamu kutoka Uswidi
- 16 Agosti - Max Roach, mwanamuziki kutoka Marekani
- 8 Septemba - Shenazi Salum, mwigizaji wa filamu kutoka Tanzania
- 18 Oktoba - Lucky Dube, mwanamuziki kutoka Afrika Kusini
- 24 Oktoba - Salome Joseph Mbatia, mwanasiasa wa kike kutoka Tanzania
- 3 Novemba - Suzanne Bachelard, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 10 Novemba - Norman Mailer, mwandishi kutoka Marekani
- 1 Desemba - Elisabeth Eybers, mwandishi wa Afrika Kusini
- 16 Desemba - Benedict Kiroya Losurutia, mwanasiasa wa Tanzania
- 23 Desemba - Oscar Peterson, mwanamuziki kutoka Kanada
- 27 Desemba - Benazir Bhutto, mwanasiasa kutoka Pakistan aliuawa
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz