Tabaka (jamii)
Tabaka katika jamii ni kundi la watu linalotofautiana na mengine kwa hali ya elimu, mali au asili. Tofauti kati ya matabaka zinaweza kuwa kubwa mno na kusababisha utovu wa haki.
Hasa huko India, mtu aliyezaliwa katika tabaka fulani hawezi kupanda chati, hata kama akitajirika, tena watoto wake wataendelea kuhesabiwa wa tabaka hilohilo la mababu wao.
Katika nchi nyingi, matabaka yanategemea hasa uchumi, hivyo kila mtu anaweza kupanda na vilevile kushuka, hata ghafla[1][2].
Pengine wanatofautishwa:
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
- media kuhusu Tabaka (jamii) pa Wikimedia Commons
- Domhoff, G. William, "The Class Domination Theory of Power", University of California, Santa Cruz
- Graphic: How Class Works. New York Times, 2005.
Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Tabaka (jamii) kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz