Tarasius Mtakatifu
(Elekezwa kutoka Tarasi wa Konstantinopoli)
Tarasius Mtakatifu (kwa Kigiriki: Άγιος Ταράσιος, Agios Tarasios; Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 730 hivi – Konstantinopoli, 25 Februari 806) alikuwa Patriarki wa mji huo kuanzia 25 Desemba 784 hadi kifo chake.
Maarufu kwa maadili na ujuzi, alifungua na kufanikisha Mtaguso wa pili wa Nisea (787).
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Februari[1] au 25 Februari au 10 Machi.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- The Oxford Dictionary of Byzantium, Oxford University Press, 1991.
- The Oxford Dictionary of the Christian Church, third edition
- Byzantium: the Early Centuries by John Julius Norwich, 1988.
Viungo vya nje
- St Tarasius the Archbishop of Constantinople Orthodox icon and synaxarion
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz