Teofilo wa Corte
Teofilo wa Corte (Corte, Corsica, leo nchini Ufaransa, 30 Oktoba 1676 - Fucecchio, leo nchini Italia, 19 Mei 1740), mwanafunzi wa Thomas wa Cori, alikuwa padri wa shirika la Ndugu Wadogo na mhubiri maarufu.
Jina lake la awali lilikuwa Biagio Arrighi. Alijulikana kwa heshima yake kubwa kwa Mateso ya Yesu na kwa Bikira Maria.
Alijitahidi kueneza urekebisho shirikani kwa kuanzisha mahali pa upwekeni[1].
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu tangu tarehe 29 Juni 1930, alipotangazwa na Papa Pius XI.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- (Kiingereza) American Catholic-Saint Theophilus of Corte Archived 29 Machi 2009 at the Wayback Machine.
- (Kiingereza) [1]
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz