Theodore Roosevelt

Rais wa Merika kutoka 1901 hadi 1909

Theodore Roosevelt (27 Oktoba 18586 Januari 1919) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Miaka ya 1901 hadi 1909 alikuwa Rais wa ishirini na sita wa Marekani. Mwaka wa 1906 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani. Alikuwa Kiongozi wa chama cha kisiasa cha kijamhuri na mwanzilishi wa chama cha kisiasa cha Progressive cha 1912 ambacho hakikudumu.

Theodore Roosevelt

Theodore Roosevelt mnamo 1904

Muda wa Utawala
Septemba 14, 1901 – Machi 4, 1909
Makamu wa RaisHapakuwa na naibu wa rais (1901–1905)
Charles W. Fairbanks(1905–1909)
mtanguliziWilliam McKinley
aliyemfuataWilliam Howard Taft

tarehe ya kuzaliwa(1858-10-27)Oktoba 27, 1858
New York City, New York, Marekani.
tarehe ya kufa6 Januari 1919 (umri 60)
Oyster Bay, New York, Marekani.
mahali pa kuzikiwaYoungs Memorial Cemetery, Oyster Bay
chamaRepublican (1880–1911, 1916–1919)
ndoa
  • Alice Lee (m. 1880–1884) «start: (1880)–end+1: (1885)»"Marriage: Alice Lee to Theodore Roosevelt" Location: (linkback://sw.wikipedia.org/wiki/Theodore_Roosevelt)
  • Edith Carow (m. 1886) «start: (1886)»"Marriage: Edith Carow to Theodore Roosevelt" Location: (linkback://sw.wikipedia.org/wiki/Theodore_Roosevelt)
watoto*Alice Roosevelt Longworth
  • Theodore Roosevelt Jr.
  • Kermit Roosevelt
  • Ethel Roosevelt Derby
  • Archibald Roosevelt
  • Quentin Roosevelt
mhitimu waHarvard University
signature

}}

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Theodore Roosevelt kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.