Transista
Transista (kwa Kiingereza: en:transistor) ni kifaa cha kielektroniki chenye uwezo wa kukuza na kuunganisha taarifa za kieletroniki [1] na taarifa za kiumeme [2][dead link]. Hutumika kama swichi, au kukuza ukubwa wa mitetemo (signals).
Imeundwa na malighafi za semikonda [2] na kuwa na utando wa semikonda za aina tatu zilizobandikwa pamoja, ambazo huwa mbili za kufanana kila upande na moja tofauti katikati, kwa mfano: pnp au npn.
Transista ndio msingi wa ufundi wa kielektroniki.
Tanbihi
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz