Tukiko
Tukiko alikuwa Mkristo wa karne ya 1 kutoka mkoa wa Asia ambaye alimfuata Mtume Paulo katika baadhi ya safari zake, na ambaye anatajwa kwa sifa katika vitabu vitano vya Agano Jipya (Mdo 20:4; Ef 6:21-22; Kol 4:7; Tito 3:12; 2 Tim 4:12). Paulo mwenyewe anamuita "Ndugu mpendwa, mtumishi mwaminifu na mwenzi katika huduma ya Bwana"[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Tukiko kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz