Urujuani
Urujuani ni rangi kati ya buluu na nyekundu. Iko karibu na zambarau lakini inaelekea zaidi upande wa buluu.
Ni rangi ya saba ya upinde wa mvua. Kifizikia ni rangi ambayo mawimbi yake ni fupi zaidi kati ya rangi zinazoonekana kwa binadamu; kama ni fupi zaidi inaendelea kuwa urujuanimno ambayo haionekani kwa macho yetu.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz