Viktorini wa Amiterno

Viktorini wa Amiterno (Amiterno, karne ya 3 hivi - Cittaducale, karne ya 4 hivi) anatajwa kama askofu wa kwanza wa Amiterno (leo katika mkoa wa Abruzzo, Italia) lakini jambo la hakika ni kwamba aliuawa kwa imani yake ya Kikristo[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Julai.[2]

Tazama pia

Tanbihi

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.