Wushu - (Kung Fu)
Wushu (/ˌwuːˈʃuː/), au Kungfu ya Kichina, ni mchezo wa upiganaji ulioanzishwa nchini China.[1][2] Jina "Wushu" linatokana na maneno ya Kichina (武 "Wu" = kijeshi, kwa Kiingereza military or martial, na 術 "Shu" = Sanaa, kwa Kiingereza arts).
Wushu umekuwa mchezo wa kimataifa kupitia Shiririkisho la Kimataifa la Wushu (IWUF - International Wushu Federation). Shirikisho hili ndilo huendeleza michezo ya kimataifa ya wushu kama vile Michuano ya Dunia ya Wushu inayofanyika kila baada ya miaka miwili tangu shindano la kwanza mwaka wa 1991 Beijing, China.
Historia
Wushu ina historia ndefu tangu 1949 wakati serikali ya China ilijaribu kuratibu michezo nchini.[3]
Mashindano ya Wushu
Mashindano makuu ya wushu ni kama vile:
Tazama pia
- Karate
- Jundo
- Kung Fu
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Wushu.in - A largest martial arts community online, Providing detailed information of all Martial Arts Styles, Martial Arts Competitions, Styles and Forms, Martial Arts Legends and Practitioners around the world.
- International Wushu Federation – Official Website
- Mentality of a Gold Medal Wushu Practitioner
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Wushu - (Kung Fu) kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz