Yared wa Ethiopia
(Elekezwa kutoka Yared)
Yared wa Ethiopia (kwa Kige'ez: ቅዱስ ያሬድ; 25 Aprili 505 - 20 Mei 571[1][2]) ni kati ya Wakristo maarufu wa Ethiopia[3].
Aliishi katika Ufalme wa Axum katika karne ya 6. Anatajwa kama mtunzi na mwanzilishi wa muziki wa Kikristo nchini, muziki wa utamaduni wa Ethiopia na wa Eritrea. Alikuza muziki wa kidini wa Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia, na matumizi katika muziki wa liturujia, pamoja na mfumo wa nota wa Ethiopia. Zaidi ya hayo, alitunga Zema, au mapokeo ya nyimbo za Ethiopia-Eritrea, ambazo zinaimbwa hadi leo.[4]
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- A brief History of Saint Yared Archived 10 Desemba 2016 at the Wayback Machine.
- Biography of Saint Yared Archived 28 Julai 2011 at the Wayback Machine.
- Charles L. Chavis Jr. Saint Yared
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz