Yohane Sarkander
Yohane Sarkander, S.J. (Skoczów, Silesia, leo nchini Polandi, 20 Desemba 1576 – Olomouc, Moravia, leo nchini Ucheki, 17 Machi 1620) alikuwa padri wa Shirika la Yesu[1][2] aliyeuawa kwa kukataa kutoboa siri ya kitubio hata katika mateso makali ya mwezi mzima aliyoyapata kutoka kwa Waprotestanti[3][4].
Alitangazwa kuwa mwenye heri na Papa Pius IX tarehe 6 Mei 1860, halafu mtakatifu na Papa Yohane Paulo II tarehe 21 Mei 1995.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz