Yosefu Gabrieli wa Rozari
Yosefu Gabrieli wa Rozari (kwa Kihispania: José Gabriel del Rosario Brochero; Santa Rosa de Río Primero, Argentina, 16 Machi 1840 – Villa del Tránsito, Córdoba, Argentina, 26 Januari 1914) alikuwa padri aliyeugua ukoma kutokana na utume mkubwa kwa ajili ya wagonjwa na fukara[1].
Alitangazwa na Papa Fransisko kuwa mwenye heri tarehe 14 Septemba 2013, halafu mtakatifu tarehe 16 Oktoba 2016[2].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz