Nenda kwa yaliyomo

Charbel Makhlouf

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Charbel Makhlouf.

Charbel Makhluf, O.L.M. (kwa Kiarabu: مار شربل, ; aliitwa kwanza Youssef Antoun Makhlouf; Bekaa Kafra, Lebanon 8 Mei 1828 – Annaya, Lebanon, 24 Desemba 1898) alikuwa mmonaki halafu pia padri wa Kanisa la Wamaroni katika Shirika la Kilebanoni la Kimaroni.

Kisha kuishi kikamilifu monasterini, akitamani maisha magumu ya upwekeni na ukamilifu wa juu zaidi, alikubaliwa kuacha jumuia yake aende kuishi peke yake, alipomtumikia Mungu usiku na mchana miaka 23 kwa kujinyima karibu kila kitu, akifunga na kusali hadi kifo chake [1].

Papa Paulo VI alimtangaza mwenye heri tarehe 5 Desemba 1965, halafu mtakatifu tarehe 9 Oktoba 1977.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Julai[2].

Tazama piahariri chanzo

Tanbihihariri chanzo

Viungo vya njehariri chanzo

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz