1977
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950 |Miaka ya 1960 |Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| Miaka ya 1990| Miaka ya 2000| ►
◄◄ |◄ |1973 |1974 |1975 |1976 |1977| 1978| 1979| 1980| 1981| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1977 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 5 Februari - Kuundwa kwa Chama cha Mapinduzi, chama tawala cha Tanzania
- 27 Juni - Nchi ya Jibuti inapata uhuru kutoka Ufaransa.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 22 Januari - Hidetoshi Nakata, mchezaji wa mpira kutoka Japani
- 20 Februari - Zoltán Trepák, mchezaji wa mpira kutoka Hungaria
- 16 Aprili - Alek Wek, mrembo kutoka Sudan
- 23 Aprili - John Cena, mwanamweleka, mwimbaji na mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 1 Juni - Sarah Wayne Callies, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 8 Juni - Kanye West, mwanamuziki kutoka Marekani
- 24 Juni - Amir Talai, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 11 Julai - Edward Moss, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 13 Julai - Ashley Scott, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 13 Julai - Kari Wahlgren, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 17 Oktoba - Andre Villas Boas, kocha wa mpira wa miguu kutoka Ureno
- 10 Novemba - Brittany Murphy, mwigizaji na mwimbaji kutoka Marekani
- 18 Novemba - Fabolous, mwanamuziki kutoka Marekani
Waliofariki
- 5 Mei - Ludwig Erhard, Chansela wa Ujerumani (1963-1966)
- 3 Juni - Archibald Vivian Hill, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1922
- 2 Julai - Vladimir Nabokov, mwandishi wa Urusi na wa Marekani
- 4 Agosti - Edgar Adrian, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1932
- 16 Agosti - Elvis Presley, mwimbaji kutoka Marekani
- 12 Septemba - Steve Biko, mwanasiasa kutoka Afrika Kusini (aliuawa na mapolisi)
- 12 Septemba- Robert Lowell, mshairi kutoka Marekani
- 11 Oktoba - MacKinlay Kantor, mwandishi kutoka Marekani
- 25 Desemba - Charlie Chaplin, mwigizaji filamu kutoka Uingereza
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz