1830
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 18 |Karne ya 19| Karne ya 20| ►
◄ |Miaka ya 1800 |Miaka ya 1810 |Miaka ya 1820 |Miaka ya 1830| Miaka ya 1840| Miaka ya 1850| Miaka ya 1860| ►
◄◄ |◄ |1826 |1827 |1828 |1829 |1830| 1831| 1832| 1833| 1834| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1830 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- Omani/Zanzibar: Sultani Sayyid Said anahamisha mji mkuu wake kutoka Omani kuja Zanzibar. Anavutwa na ardhi yenye rutba na upatikanaji wa kazi ya watumwa akianzisha kilimo cha karafuu.
- Marekani: Kitabu cha Mormoni chatolewa na Joseph Smith, Mdogo anayedai kuwa alitafsiri kitabu kutoka kwa mabamba ya dhahabu aliyopewa na malaika wa Mungu.
- 14 Juni Sidi-Ferruch (Algeria): Vikosi vya jeshi la Ufaransa vinatelemka mwambaoni wa Algeria. Ukoloni wa Ufaransa unaanza.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 9 au 18 Februari - Abdulaziz I, Sultani wa Milki ya Osmani (1861-1876)
- 15 Machi - Paul Heyse (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1910)
- 8 Septemba - Frederic Mistral (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1904)
- 17 Desemba - Simon Bolivar, mwanasiasa na mwanajeshi katika Amerika ya Kusini aliyeongoza mapambano dhidi ya ukoloni wa Hispania, katika mji wa Santa Marta (Kolombia)
Waliofariki
- 4 Juni - Antonio José de Sucre, Rais wa Peru (1823) na Rais wa Bolivia (1825-28), aliuawa
- 30 Novemba - Papa Pius VIII
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz