1904
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1870 |Miaka ya 1880 |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900| Miaka ya 1910| Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| ►
◄◄ |◄ |1900 |1901 |1902 |1903 |1904| 1905| 1906| 1907| 1908| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1904 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 4 Februari - MacKinlay Kantor, mwandishi kutoka Marekani
- 2 Machi - Theodor Seuss Geisel (anajulikana hasa kama Dr. Seuss, mwandishi Mmarekani kwa watoto)
- 5 Aprili - Richard Eberhart, mshairi kutoka Marekani
- 6 Aprili - Kurt Georg Kiesinger, Chansela wa Ujerumani (1966-1969)
- 6 Mei - Harry Martinson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1974
- 11 Mei - Salvador Dali, mchoraji kutoka Hispania
- 12 Julai - Pablo Neruda, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1971
- 14 Julai - Isaac Bashevis Singer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1978
- 28 Julai - Pavel Cherenkov, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1958
- 7 Agosti - Ralph Bunche, mwanasiasa Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1950
- 16 Agosti - Wendell Stanley, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1946
- 20 Agosti - Werner Forssmann, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1956
- 21 Agosti - Count Basie, mwanamuziki wa Jazz kutoka Marekani
- 3 Oktoba - Charles Pedersen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1987
- 16 Novemba - Nnamdi Azikiwe, Rais wa kwanza wa Nigeria
- 21 Novemba - Coleman Hawkins, mwanamuziki kutoka Marekani
- 22 Novemba - Louis Neel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1970
- 25 Desemba - Gerhard Herzberg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1971
Waliofariki
- 13 Aprili - Vasili Vereshchagin, msanii mchoraji kutoka Urusi
- 1 Mei - Antonín Dvořák, mtunzi wa muziki kutoka Ucheki
- 10 Mei - Henry Morton Stanley, mwandishi wa habari kutoka Welisi na Marekani aliyesafiri hasa Afrika Mashariki
- 15 Julai - Anton Chekhov, mwandishi Mrusi
- 24 Septemba - Niels Ryberg Finsen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1903
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz