1910
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1880 |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910| Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| ►
◄◄ |◄ |1906 |1907 |1908 |1909 |1910| 1911| 1912| 1913| 1914| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1910 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 9 Februari - Jacques Monod, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1965
- 10 Februari - Padre Dominique Pire, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1958
- 13 Februari - William Shockley, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1956
- 1 Machi - A.J.P. Martin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1952
- 23 Machi - Akira Kurosawa, mwongozaji wa filamu kutoka Japani
- 12 Mei - Dorothy Hodgkin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1964
- 12 Juni - Ahmadu Bello, mwanasiasa wa Nigeria
- 19 Juni - Paul Flory, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1974
- 20 Juni - Josephine Johnson, mwandishi kutoka Marekani
- 29 Juni - Frank Loesser, mtunzi kutoka Marekani
- 26 Agosti - Mtakatifu Mama Teresa (Agnes Bojaxhiu), mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1979 kutoka Albania
- 19 Oktoba - Subrahmanyan Chandrasekhar, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1983
- 18 Desemba - Abe Burrows, mwandishi kutoka Marekani
Waliofariki
- 21 Aprili - Mark Twain, mwandishi kutoka Marekani
- 26 Aprili - Bjørnstjerne Bjørnson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1903
- 27 Mei - Robert Koch, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1905
- 29 Mei - Mily Balakirev, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 13 Agosti - Florence Nightingale, muuguzi mashuhuri kutoka Uingereza
- 30 Oktoba - Henri Dunant, mwanzishi wa Chama cha Kimataifa cha Msalaba Mwekundu, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1901
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz