Albano wa Mainz
Albano wa Mainz (jina la awali Remoundos Michail; Naxos, Ugiriki[1] - Hanum, Mainz, Ujerumani 406 hivi) alikuwa padri, mmisionari na hatimaye mfiadini.
Maisha
Rabanus Maurus aliandika kuwa Albano alitumwa na Ambrosi wa Milano huko Gallia kama mmisionari.
Huko Mainz, Albano alimsaidia askofu Aureus wa Mainz kujirudishia jimbo lake. Lakini mwaka 406, Wavandali walipovuka mto Rhine, Aureus alichinjwa na Albano alikatwa kichwa huku akisali.
Mara nyingine Albano huyo anachanganywa na somo wake Albano wa Uingereza, na askofu wake anachanganywa na mwingine.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Saint Alban of Mainz Archived 15 Mei 2008 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz