Albuino

Albuino (alifariki Brixen/Bressanone, Bozen/Bolzano, leo nchini Italia, 5 Februari 1006) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo wa Italia Kaskazini, alipohamishia makao makuu ya jimbo kutoka Saeben/Sabiona alipokuwa askofu kuanzia mwaka 975[1][2].

Sanamu za Wat. Injenwino na Albuino katika kanisa kuu la Brixen/Bressanone.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Februari[3].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.