Albuino
Albuino (alifariki Brixen/Bressanone, Bozen/Bolzano, leo nchini Italia, 5 Februari 1006) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo wa Italia Kaskazini, alipohamishia makao makuu ya jimbo kutoka Saeben/Sabiona alipokuwa askofu kuanzia mwaka 975[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Februari[3].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Josef Gelmi: Bischof Albuin : ein Heiliger um die Jahrtausendwende (975—1006). Weger, Brixen 2005, ISBN 978-88-88910-34-5.
- https://web.archive.org/web/20070630031904/http://www.bautz.de/bbkl/a/albuin_b_v_b.shtml
- Heinz Wieser: Alter Diözesanpatron starb vor 1000 Jahren, erschienen in: Osttiroler Bote, Ausgabe vom 9. Februar 2006.
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz