Injenwino
Injenwino (alifariki Saeben/Sabiona, Bozen/Bolzano, leo nchini Italia, 605 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo wa Italia Kaskazini[1].
Wakati wa uvamizi wa Walombardi Waario ilimbidi akimbie, lakini baadaye akarudi.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Februari[2].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Josef Gelmi: Bischof Ingenuin von Säben, Brixen (Weger) 2005; ISBN 8888910239
- Josef Riedmann: Ingenuin von Säben. In: Lexikon der Heiligen und der Heiligenverehrung. 2. Band. Herder, Freiburg i. B. 2003, ISBN 3-451-28192-9
- Anselm Sparber: Ingenuin. In: Lexikon für Theologie und Kirche. 1. Auflage, 5. Band. Herder, Freiburg i. B. 1933
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz