Augustino Erlandsson
Augustino Erlandssön (kwa Kinorwei Øystein Erlendsson; kwa Kilatini Augustinus Nidrosiensis; Verdal, Nord-Trøndelag, 1120 hivi - Trondheim, Norwei, 26 Januari 1188) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 1161; alitetea kwa bidii Kanisa lake dhidi ya watawala wa nchi, akalistawisha kwa juhudi kubwa[1].
Kwa ajili hiyo alipelekwa uhamishoni Uingereza, lakini baadaye aliweza kurudi jimboni.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Januari[2].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Gunnes, Erik Erkebiskop Øystein, statsmann og kirkebygger (Oslo: 1996) ISBN|82-03-22144-0
- Vandvik, Eirik Erkebiskop Eystein som politikar (Trondheim: 1961)
- Bagge, Sverre Mennesket i middelalderens Norge (forlaget Aschehoug, Oslo: 2005) ISBN|82-03-23282-5
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz