Kinorwei
Kinorwei (Kinorwei: norsk) ni lugha ya Kigermanik ya Kaskazini katika jamii ya lugha za Kihindi-Kiulaya.
Kinorwei | ||
---|---|---|
norsk | ||
Pronunciation | [nɔʂk] | |
Inazungumzwa nchini | Norwei | |
Jumla ya wazungumzaji | 4,700,000 | |
Familia ya lugha | Lugha za Kihindi-Kiulaya
| |
Standard forms | Bokmål Nynorsk | |
Mfumo wa uandikaji | Alfabeti ya Kilatini | |
Hadhi rasmi | ||
Lugha rasmi nchini | Norwei | |
Hurekebishwa na | Språkrådet | |
Misimbo ya lugha | ||
ISO 639-1 | no | |
ISO 639-2 | nor | |
ISO 639-3 | nor | |
Note: This page may contain IPA phonetic symbols in Unicode. |
Kinorwei kinasemwa na watu 4,700,000 hivi, na ni lugha rasmi nchini Norwei.
Kinorwei, Kiswidi na Kidenmark vinavyoitwa lugha za Skandinavia ya bara vinahusiana sana.
Kinorwei kina insha rasmi mbili: bokmål na nynorsk.
Viungo vya nje
- makala za OLAC kuhusu Kinorwei
- Kinorwei katika tovuti ya Multitree
- lugha ya Kinorwei katika Glottolog
- http://www.ethnologue.com/language/nor
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kinorwei kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz