Domisyano wa Melitene

Domisyano wa Melitene (550 hivi - 602) alikuwa askofu wa Melitene, Armenia ya Kale, leo Malatya, nchini Uturuki, kuanzia mwaka 580 hivi hadi kifo chake[1].

Mazishi ya Mt. Domisyano.

Alishughulikia sana uongofu wa Waajemi[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 10 Januari[3].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.