Filipo Smaldone
Filipo Smaldone (Napoli, Campania, Italia, 27 Julai 1848 – Lecce, Puglia, 4 Juni 1923) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki aliyeshughulikia maisha yake yote malezi ya kiutu na ya Kikristo ya mayatima, mabubu na viziwi akaanzisha shirika la kitawa la Masista Wasalesiani wa Mioyo Mitakatifu.
Alikuwa pia na uwezo mkubwa wa kuhubiri na kutoa katekesi.
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 12 Mei 1996 halafu Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 15 Oktoba 2006.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Hagiography Circle
- Saints SQPN
- Catholic Forum
- Salesian Missions Archived 24 Julai 2008 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz